Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 33:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia aliwatoa wanawe kama sadaka ya kuteketeza katika bonde la mwana wa Hinomu. Alipiga ramli, alibashiri na alitumia hirizi; hata alishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 33

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 33:6 katika mazingira