Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 32:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, Senakeribu mfalme wa Ashuru, ambaye bado alikuwa ameuzingira mji wa Lakishi akiwa na majeshi yake yote, aliwatuma watumishi wake Yerusalemu kwa Hezekia mfalme wa Yuda na kwa watu wote wa Yuda waliokuwa Yerusalemu, akisema

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 32

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 32:9 katika mazingira