Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 32:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine ya mfalme Hezekia na wema wake, yameandikwa katika Maono ya nabii Isaya mwana wa Amozi, katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 32

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 32:32 katika mazingira