Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 29:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa maana babu zetu waliasi na kutenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu. Wamemwacha, wakageuzia mbali nyuso zao na kupawekea kisogo mahali aishipo Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 29

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 29:6 katika mazingira