Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 29:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Hezekia aliyafuata maagizo ambayo Mwenyezi-Mungu alikuwa amempa mfalme Daudi kwa njia ya Gadi mwonaji wa mfalme na nabii Nathani. Hivyo basi, akaweka Walawi katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, baadhi yao wakiwa na matoazi, wengine vinanda na wengine vinubi. Hiyo ilikuwa amri ya Mwenyezi-Mungu kwa njia ya manabii wake.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 29

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 29:25 katika mazingira