Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 29:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakaleta mafahali saba, kondoo madume saba, wanakondoo saba na mbuzi madume saba, wawe sadaka ya kuondoa dhambi, kwa ajili ya jamaa ya kifalme, patakatifu na watu wa Yuda. Hapo, mfalme aliwaambia makuhani waliokuwa wazawa wa Aroni wawateketeze juu ya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 29

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 29:21 katika mazingira