Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 28:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Jeshi la Israeli lilichukua mateka ndugu zao watu laki mbili wakiwemo wanawake na watoto. Waliwachukua hadi Samaria pamoja na mali nyingi waliyoteka nyara.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 28

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 28:8 katika mazingira