Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 28:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Ahazi alifariki, akazikwa mjini Yerusalemu, lakini si katika makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe, akatawala mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 28

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 28:27 katika mazingira