Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 26:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mfalme Uzia alipokuwa na nguvu, alijaa kiburi ambacho kilisababisha maangamizi yake. Alimwasi Mwenyezi-Mungu, Mungu wake kwa kuingia hekaluni akikusudia kufukiza ubani madhabahuni.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 26

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 26:16 katika mazingira