Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 26:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia mwanawe Amazia akiwa mwenye umri wa miaka kumi na sita, wakamtawaza mahali pa Amazia baba yake.

2. Halafu baada ya kifo cha baba yake aliujenga upya mji wa Elothi na kuurudisha kwa Yuda.

3. Uzia alianza kutawala akiwa na umri wa miaka kumi na sita; akatawala kwa muda wa miaka hamsini na miwili huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Yekolia wa Yerusalemu.

4. Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 26