Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipochungulia akamwona mfalme mpya amesimama karibu na nguzo kwenye lango, huku makapteni na wapiga tarumbeta wakiwa kando ya mfalme na wakazi wote wakishangilia na kupiga tarumbeta; nao waimbaji wakiwa na ala zao za muziki wakiongoza watu katika sherehe; ndipo aliporarua nguo zake na kusema kwa sauti kubwa “Uhaini! Uhaini!”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 23

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 23:13 katika mazingira