Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 23:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baadaye, mnamo mwaka wa saba, kuhani Yehoyada alijipa moyo akafanya mapatano na makapteni: Azaria mwana wa Yehoramu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

2. Wakazunguka katika miji yote ya Yuda wakiwakusanya Walawi na viongozi wa makabila ya Israeli, wakaenda mpaka Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 23