Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 21:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakaishambulia nchi ya Yuda, wakaiteka mali yote iliyokuwamo katika jumba la mfalme na kuwachukua mateka wanawe wote na wake zake, isipokuwa Ahazia, mwanawe mdogo.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 21

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 21:17 katika mazingira