Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Hatimaye Yehoshafati alifariki na kuzikwa pamoja na babu zake katika makaburi ya kifalme katika mji wa Daudi; naye Yehoramu mwanawe akatawala mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 21

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 21:1 katika mazingira