Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 20:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya haya, Yehoshafati mfalme wa Yuda, alijiunga na Ahazia mfalme wa Israeli, aliyetenda mambo maovu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 20:35 katika mazingira