Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 20:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala Yuda. Alitawala kutoka Yerusalemu kwa muda wa miaka ishirini na mitano. Mama yake alikuwa Azuba binti Shilhi.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 20:31 katika mazingira