Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 19:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Yehoshafati alikaa Yerusalemu, lakini hata hivyo, mara kwa mara aliwatembelea watu wa Beer-sheba kusini, mpaka milima ya Efraimu, upande wa kaskazini. Alifanya hivyo ili kuwavutia watu wamrudie Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 19

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 19:4 katika mazingira