Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 19:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Amaria, kuhani mkuu, ndiye atakayesimamia mambo yote yanayomhusu Mwenyezi-Mungu, naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, gavana wa Yuda atasimamia mambo yote ya utawala, na Walawi watakuwa maofisa. Jipeni moyo muyatekeleze masharti haya, naye Mwenyezi-Mungu awe pamoja nao walio wema.”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 19

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 19:11 katika mazingira