Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 19:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mfalme Yehoshafati wa Yuda alirejea salama katika ikulu yake mjini Yerusalemu.

2. Lakini mwonaji Yehu mwana wa Hanani, alikwenda kumlaki mfalme, akamwambia, “Je, unadhani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wamchukiao Mwenyezi-Mungu? Mambo uliyofanya yamekuletea ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 19