Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 18:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Mwenyezi-Mungu akauliza, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu mfalme wa Israeli aende akaangamie huko Ramoth-gileadi?’ Kila mmoja akajibu alivyofikiri.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 18

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 18:19 katika mazingira