Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 16:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo mfalme Ben-hadadi alikubali pendekezo la mfalme Asa, akawatuma majemadari wake na majeshi yake kwenda kuishambulia miji ya Israeli. Nao waliiteka miji ya Iyoni, Dani, Abel-maimu, na miji yote ya Naftali iliyokuwa na ghala za vyakula.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 16

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 16:4 katika mazingira