Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa mfalme Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, aliishambulia nchi ya Yuda na kuanza kuujenga mji wa Rama ili apate kuzuia mtu yeyote asitoke wala kuingia kwa Asa mfalme wa Yuda.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 16

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 16:1 katika mazingira