18. Alivirudisha katika nyumba ya Mungu vifaa vyote vilivyowekwa wakfu na baba yake pamoja na vile alivyoviweka wakfu yeye mwenyewe: Fedha na dhahabu na vyombo vinginevyo.
19. Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.