Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 15:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Lakini hata hivyo mahali pa kutambikia miungu mingine katika Israeli hapakuharibiwa; lakini yeye alikuwa na moyo mwaminifu maisha yake yote.

18. Alivirudisha katika nyumba ya Mungu vifaa vyote vilivyowekwa wakfu na baba yake pamoja na vile alivyoviweka wakfu yeye mwenyewe: Fedha na dhahabu na vyombo vinginevyo.

19. Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 15