Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 14:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Liliharibu miji yote iliyokuwa kandokando ya Gerari, kwa kuwa watu waliokuwamo katika miji hiyo waliingiwa na hofu ya Mwenyezi-Mungu. Jeshi lilichukua mali nyingi kutoka katika miji hiyo kwa sababu kulikuwamo mali nyingi sana.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 14

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 14:14 katika mazingira