Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Asa akamlilia Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, akisema, “Ee Mwenyezi-Mungu, hakuna mwingine kama wewe, mwenye uwezo wa kulisaidia jeshi liwe dhaifu au lenye nguvu. Tusaidie, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kwa kuwa sisi tunakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja kupigana na jeshi hili kubwa ajabu. Ee Mwenyezi-Mungu, wewe ndiwe Mungu wetu; usimruhusu binadamu yeyote ashindane nawe.”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 14

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 14:11 katika mazingira