Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwishowe, Abiya alifariki na kuzikwa katika mji wa Daudi na Asa mwanawe akatawala mahali pake. Wakati wa Asa, kulikuwa na amani nchini kwa muda wa miaka kumi.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 14

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 14:1 katika mazingira