Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)

mimi Bwana nasema, ‘Msiende wala msipigane na ndugu zenu. Rudini kila mtu nyumbani kwake, maana hayo yaliyotokea ni kama nilivyopanga.’” Basi wakatii ujumbe wa Mwenyezi-Mungu, wakarudi nyumbani, wala hawakwenda kupigana na Yeroboamu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 11

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 11:4 katika mazingira