Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 11:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, waliuimarisha ufalme wa Yuda, na kwa muda wa miaka mitatu, wakauunga mkono utawala wa Rehoboamu mwanawe Solomoni, nao ukawa imara na wakaishi katika hali ileile waliyoishi wakati walipokuwa chini ya utawala wa mfalme Daudi na mfalme Solomoni.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 11

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 11:17 katika mazingira