Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 11:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Walawi waliyaacha malisho yao, na maeneo yao mengine kwa sababu Yeroboamu na wanawe waliwakataza kumtumikia Mwenyezi-Mungu kama makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 11

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 11:14 katika mazingira