Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 1:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”

8. Solomoni akamwambia Mungu, “Ulimwonesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, na umenijalia kuwa mfalme mahali pake.

9. Sasa, ee Mungu, Mwenyezi-Mungu, itimize ahadi uliyompa baba yangu Daudi. Umenitawaza niwe mfalme juu ya watu hawa walio wengi kama mavumbi.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 1