Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 9:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tatu kila mwaka, Solomoni alitoa tambiko za kuteketezwa na tambiko za amani juu ya madhabahu aliyokuwa amemjengea Mwenyezi-Mungu, akamfukizia Mwenyezi-Mungu ubani; pia alifanya marekebisho ya nyumba.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 9

Mtazamo 1 Wafalme 9:25 katika mazingira