Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 9:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kati ya Waisraeli, Solomoni hakumfanya mtu yeyote kuwa mtumwa; wao ndio waliokuwa askari, watumishi wake, makamanda wake, maofisa wake, makamanda wa magari yake ya kukokotwa, na wapandafarasi wake.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 9

Mtazamo 1 Wafalme 9:22 katika mazingira