Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 8:63 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Solomoni alimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko za amani: Ng'ombe 22,000 na kondoo 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na watu wote wa Israeli walivyoiweka wakfu nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 8

Mtazamo 1 Wafalme 8:63 katika mazingira