Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 8:47 Biblia Habari Njema (BHN)

kama watakapokuwa huko uhamishoni watajirudi moyoni na kutubu na kukuomba msamaha, wakisema, ‘Tumetenda dhambi; tumepotoka na kufanya maovu;’

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 8

Mtazamo 1 Wafalme 8:47 katika mazingira