Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 8:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, sasa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ninakuomba pia utimize ile ahadi uliyomwahidi mtumishi wako, Daudi, baba yangu, ukisema: ‘Siku zote utakuwa na mzawa wa kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli, iwapo wazawa wako watakuwa waangalifu kuhusu mwenendo wao mbele yangu kama wewe ulivyofanya mbele yangu.’

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 8

Mtazamo 1 Wafalme 8:25 katika mazingira