Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, akajenga jengo lililoitwa Nyumba ya Msitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 44.5, upana wake mita 22.25, na kimo chake mita 13.5. Ilikuwa imejengwa juu ya safu 3 za nguzo za mierezi, nguzo ambazo zilishikilia boriti za mierezi kwa upande wa juu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:2 katika mazingira