Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mlango wa kuingilia sehemu ya chini ya jengo lililoongezwa ubavuni mwa nyumba, ulikuwa upande wa kusini. Ndani, mlikuwa na ngazi ambayo watu waliweza kupanda ili kwenda ghorofa ya katikati na ya mwisho.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 6

Mtazamo 1 Wafalme 6:8 katika mazingira