Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 3:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mmoja, Solomoni alikwenda kutoa tambiko huko Gibeoni, maana palikuwa ndipo mahali maarufu pa ibada. Ilikuwa ni kawaida ya Solomoni kutoa maelfu ya sadaka za kuteketezwa katika madhabahu hiyo.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 3

Mtazamo 1 Wafalme 3:4 katika mazingira