Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 22:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Ahabu akaitisha kikao cha manabii wapatao 400, akawauliza, “Je, niende nikaushambulie mji wa Ramoth-gileadi au nisiende?” Wao wakamjibu: “Nenda! Mwenyezi-Mungu atakupatia ushindi.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 22

Mtazamo 1 Wafalme 22:6 katika mazingira