Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 22:51 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Yehoshafati, mfalme wa Yuda, Ahazia, mwana wa Ahabu, alianza kutawala Israeli. Alitawala kwa muda wa miaka miwili, kutoka Samaria.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 22

Mtazamo 1 Wafalme 22:51 katika mazingira