Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 22:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine ya Yehoshafati, ushujaa wake na vita alivyopigana, yote yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati ya Wafalme wa Yuda. Wafiraji wote wa kidini waliosalia tangu nyakati za baba yake Asa, Yehoshafati aliwaondoa nchini.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 22

Mtazamo 1 Wafalme 22:46 katika mazingira