Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Ahabu akaenda zake nyumbani amejaa chuki na huzuni nyingi, kwa sababu Nabothi, mwenyeji wa Yezreeli, alimwambia kwamba hatampa kile alichorithi kutoka kwa wazee wake. Basi, akajilaza kitandani, akauficha uso wake na kususia chakula.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 21

Mtazamo 1 Wafalme 21:4 katika mazingira