Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 21:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale walaghai wawili wakaketi kumkabili Nabothi, kisha wakamshtaki hadharani wakisema, “Nabothi amemwapiza Mungu na mfalme.” Basi, Nabothi akatolewa nje ya mji, akauawa kwa kupigwa mawe.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 21

Mtazamo 1 Wafalme 21:13 katika mazingira