Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Ahabu akawaambia wajumbe wa Ben-hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme hivi: ‘Niko radhi kutimiza matakwa yako ya kwanza, lakini haya ya pili sikubali hata kidogo.’” Hapo, wajumbe hao wakaenda zao na kumhabarisha tena mfalme Ben-hadadi.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:9 katika mazingira