Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Ben-hadadi akamwambia, “Miji yote ambayo baba yangu alimnyanganya baba yako, nitakurudishia. Unaweza kuanzisha masoko huko Damasko kama alivyofanya baba yangu huko Samaria.” Ahabu akajibu, “Nitakuachilia kwa masharti hayo.” Hapo, akafanya mkataba naye na kumwacha huru.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:34 katika mazingira