Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakajifunga magunia viunoni na kamba shingoni mwao, wakamwendea mfalme wa Israeli, wakamwambia, “Mtumishi wako, Ben-hadadi, anakusihi akisema ‘Tafadhali uniache nipate kuishi.’ Ahabu akasema, ‘Kumbe anaishi bado? Yeye ni ndugu yangu.’”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:32 katika mazingira