Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Ben-hadadi mfalme wa Aramu, alikusanya jeshi lake lote; aliungwa mkono na wafalme wengine thelathini na wawili pamoja na farasi na magari yao ya kukokotwa. Aliuendea mji wa Samaria akauzingira na kuushambulia.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:1 katika mazingira