Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 2:45-46 Biblia Habari Njema (BHN)

45. Lakini mimi atanibariki, na kiti cha enzi cha Daudi kitaimarishwa mbele ya Mwenyezi-Mungu milele.”

46. Hapo, mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka, akampiga na kumuua Shimei. Basi, ufalme ukaimarika chini ya Solomoni.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 2