Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 2:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu atamwadhibu Yoabu kwa mauaji hayo aliyoyafanya bila baba yangu kuwa na habari. Yeye aliwaua watu wawili ambao walikuwa wa maana zaidi kuliko yeye, pia walimzidi kwa wema; aliwaua Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 2

Mtazamo 1 Wafalme 2:32 katika mazingira